WIKLIF PHINUS TUARIRA, Ni muandishi na mwanzilishi wa Wiki Books Publishers, wachapishaji wa vitabu vya kiroho na afya. Kando na uandishi WIKLIF PHINUS TUARIRA ni mwalimu wa masomo ya Fizikia na Kemia. vitabu pata hapa

Zaka na Sadaka

 



Zaka na sadaka



"Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu 

amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele." Ni moja ya mafungu maarufu na pendwa 

sana miongoni mwa watu, lakini hata hivyo bado hatuelewi vizuri mstari unaosema akamtoa 

mwanawe pekee , Kimsingi shetani alijua wazi kuwa hakuna njia ambayo Mungu angefanya 

kumuokoa mwanadamu aliyeanguka dhambini ila tu kwa kupitia uzao wa mwanadamu kitu 

ambacho alijipa matumaini kuwa tendo hilo haliwezekani kwasababu mosi, Mwanadamu mwenye 

dhambi hawezi kumuokoa mwenye dhambi mwenzake inahitajika mwanadamu mtakatifu asiye na 

dhambi kufanya hivyo. Pili, na kutokana na sababu hio hata Mungu katika wake hawezi kumuokoa 

mwanadamu katika hali ya uungu maana sharti ni kwamba damu lazima iokoe damu na Mungu 

sio binadamu maana pia hakuna binadamu atakayeweza kumuona Mungu akaishi, kwasababu hio 

basi Yesu akafanyika kuwa mwana wa Mungu, akauvaa ubinadamu ili aweze kupata kibali cha 

kuweza kumkomboa binadamu maana tayari amekidhi vigezo vyote yaani yu katika hali ya 

kibinadamu pili hana dhambi (Wafilipi 2:6-8). 

Huu ndio utoaji bora zaidi kuwahi kutokea katika dunia. Leo hii hatuwezi kujitoa uhai lakini 

tunaweza kutoa fadha, muda, mali, akili nk kupitia Zaka na Sadaka katika namna

ambayo inakubalika na mbingu. Karibu tujifunze namna ya kumtolea Mungu Zaka na Sadaka.

Bei: 3000/-



You can purchase our books via:  

1. MOBILE MONEY  

AIRTEL MONEY - 0683 856 615  
MIXX BY YAS - 0774 018 392  
M-PESA - 0792 969 026  
HALO PESA - 0621 142 591  
AZAM PESA - 1621 142 591  

2. BANK ACCOUNTS  

NMB - 20310118478  
SELCOM MICROFANCE BANK - 55251 00459 503





Post a Comment

 


Wiki book publishers Welcome to WhatsApp chat
Howdy! How can we help you today?
Type here...